Sunday, October 15, 2017

SABABU 5 ZA KUANZA BIASHARA YAKO BILA MTAJI


KWA MSAADA WOWOTE TEMBEA NA GECOSO!


SAFARI YA MJASIRIAMAILI
Jenga Biashara yako kupitia unachokijua
Badala ya kuwekeza katika biashara kubwa kama kununua hisa au kampuni kubwa, hakikisha unajenga biashara yako katika ujuzi, kipaji na maarifa uliyonayo tayari. Kadri unavyo tegemea kidogo kutoka nje ndivyo unavyopata mafanikio makbuwa kupita biashara yako. Unapo fanikiw akujenga beashara yako kupitia ujuzi wako na unachokifahamu unapungiza msaada na ushari kutoka nje kuhusu maendeleo ya biashara yako. Alafu kuwa na ujuzi na maarifa yako ndicho kinafanya mafanikio yako katika safari yako ya ujasiriamali yenye tija.
Mwambie kilammoja kuhusu unachokifanya.
Kufahamisha familia yako, marafiki, mwasiliano ya biashara na hata uliosoma nao huko nyuma kuhusu biasara yako mpya ni mafanikio yako, maana hao ni mtaji. Piga simu, tuma email, na hakikisha biashara yako mpya inafahamika, pia weka kwenye mitando yako ya kijamii. Marafiki na wanafamilia watakusaidia kutangaza biashara yako na itafika mbali. Hii namna ya kutangaza baishara kuanzia chini itakufanya biashara yako ifahamike na kujulikana sana.
 Epuka gharama isiyo ya lazima.
Unaenda kuw ana gharama nyingi, na zingine haziepukiki kwa biashara yako. Kuepuka gharama isiyo ya lazima itakupunguzia matumizi mabaya ya fedha uliyo nayo. Tengeneza kitu kidogo kama kadi ya biashara yako ya gharama nafuu ili uwape wateja wako au marafiki.
Epuka kujizika na mikopo
Kuna njia nzuri sana yakutumia bila kujukua mikopo ya gharama kubwa, jifunze kutumia mikopo kama ya M-pawa, na timiza, au vikoba ili uepuke tozo kubwa ya kurejesha mkopo ambao utakuja kuzika biashara yako ndani yam da mfupi.  Kompyuta mpya, meza na viti vipya wa ofisi ni muhimu kuliko kuchukua vibovu na vikaharibika kwa wakati mmoja na umevipata kwa hela ya mkopo.Badala ya kununua kila kitu tumia hela ya biashara yako kununu vifaa vya ofisi na gharama za baishara yako kuliko hela nyngi kutoka mfukoni mwako. Epuka msongo wa mawazo kwa mikopo isiyo ya lazima, ili kupata fursa Zaidi ya kufanikiwa katika biashara yako.

Hakikisha madeni yako kwa watu hayakuangushi
Kama biashara yako ni ya rejareja basi hili halikuhusu, lakini kama unatoa hudma ya ushari wa kibiashara au bidhaa kwa watu wa biashara ndogondogo hikikisha unaweka sera nzuri ya malipo ya madeni yako kwa mda mfupi ili usikwame kufanya biashara. Usitengeneze sera ya malipo kwa kutafuta namna ya mkumfurahisha mteja wako ila isizidi siku 15 or 30 kupokea madeni yako nje.Weka sera katika misingi ya mafanikio yako siku zote.
Uwe tayari kuhaso ilikufanikiwa katika safari yako ya kijasiriamali.

0 comments: