Tanzania inatarajiwa kuwa nchi
kubwa tano kwa uzalishaji wa madini ya Uranium Afrika baada ya kukamilika kwa
mradi wa Uranium wa Mto Mkuju. Mradi huu ulianza miaka 7 iliyopita na tafiti
nyingi imekamilika na unaanza utekelezaji wake (Mr Shotov) mradi huu utakuza
uchumi wa taifa na kuelekea Tanzania ya neema huku ikiajiri watanzania Zaidi ya
1600.
Huu ni mmoja ya miradi inayotoa
ahadi nzuri duniani kwa uranium safi na bora, mradi unaendeshwa na kampuni ya
MANTRA ukizungumza Mkurungezi mkuu (Mr Frederick Kibodya)
Tunatakiwa kulinda rasilimali ya
nchi hii kwa gharama yoyote kwa maslahi mapana ya maendeleo ya taifa na
standard ni 50% kwa 50%.
0 comments: